
RIDHIWANI KIKWETE ATEULIWA MWENYEKITI WA UJENZI WA MAFIA
VIEWED 3022 TIMES
Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans Sports Club mheshimiwa Yusuf Manji leo amemtambulisha wakili Ridhiwani Kikwete kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa kitega uchumi katika eneo la klabu lililopo makutano ya Mafia/Nyamwezi eneo la Ilala jijini Dar es salaam.
Last Updated on Thursday, 21 March 2013 17:35
















