You are here: Home NEWS Local News YANGA YAENDELEA KUJIFUA

YANGA YAENDELEA KUJIFUA

E-mail Print PDF

 VIEWED 1401 TIMES 

Tmu ya  Young Africans leo asubuhi imeendelea na mazoezi katika viwanja vya Fame Residence baada ya jana kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Denizlispor FC ya ligi daraja la kwanza Uturuki, mchezo ambao ulishia kwa Denizlispor FC kushinda kwa mabao 2-1, mechi liofanyika katika uwanja wa Selen football - Kamelya Complex Antalya.


Kocha Brandts ameendelea kukinoa kikosi chake na kufanyia marekebisho ya baadhi ya makosa yaliyojitokeza katika mchezo wa jana ambao hata hivyo Yanga iliutawala kwa kipindi chote cha mchezo lakini maamuzi ya mwamuzi kipindi cha pili yaliinyima Young Africans ushindi.
 
Denizlispor FC timu ambayo imeshuka kutoka ligi kuu ya uturki mwaka juzi, inapigania kurudi tena katika Ligi kuuya Uturuki, jana ilishindwa kutamba kabisa mebele ya Young Africans ambayo iliweza kucheza soka safi na la kuvutia mda wote wa mchezo.
 
Brandts amemtupia lawama mwamuzi wa mchezo jana, kwamba maamuzi yake ndio yalipelekea timu yake kupoteza mchezo huo, kwani vijana wake waliweza kucheza vizuri kuanzia nafasi ya ulinzi mpaka ushambuliaji hali iliyowashangaza waturuki hao.
 
Tazama goli la kwanza mshambuliaji wao aliunawa mpira kabla ya kufunga na bado mwamuzi akalikubali bao alilofunga, bao la pili Nadri Cannavaro alichezwa mazdhambi mshika kibendera akanyanyua kuwa ni faulo lakini cha ajabu mwamuzi aliamuru ipigwe penati, kiukweli mwamuzi alichangia kutufanya tupoteze mchezo huo alisema 'Brandts'
 
Wachezaji wanaendelea na mazoezi mpaka siku ya jumamosi ambayo itakua ni siku ya mwisho kabla ya siku ya jumapili kuanza safari ya kurudi nchini Tanzania tayari kabisa kwa mbio za kuuchukua Uibingwa wa Ligi ya Kuu ya Vodacom 2013. 

Wachezaji wa Young Africans wakiwa mazoezin leo asubuhi katika viwanja vya Fame Residence football

Young Africans imeendelea na mazoezi yake leo asubuhi katika viwanja vya Fame Residence Football ambapo imekuwa ikifanya mazoezi tangu kuwasili katika mjii wa Antalya.
Last Updated ( Wednesday, 09 January 2013 13:23 )  

 

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Green and yellow colours were dominant from the early hours of Saturday and it went on to be the dominant colours... http://t.co/sshr7bjgeQ
yanga1935: I posted 5 photos on Facebook in the album "CHAMP24NS" http://t.co/jw1L47m1kO
yanga1935: Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans... http://t.co/S8GiejZjr7
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 2 - 0 Simba SC Kavumbagu ddk 4 Kiiza dkk 63
yanga1935: Dakika ya 89, Mpira umesimama kidogo, baada ya Nassoro Chollo kumsukuma Kavumbagu na wakati mwamuzi anamuulia kadondoka chini mwenyewe.
yanga1935: Dakika ya 85, anaingia Juma Abdul kuchukua nafasi ya Mbuyu Twite
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 2 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 1 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - Simba SC
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: KUMRADHI: bao la Yanga limefungwa na Didier Kavumbagu na sio Hamis Kiiza kama nilivyoandika awali
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 28 Simba walipata penati, akapiga Mussa Mudde na kukosa
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 4, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza
yanga1935: Mpira ndo umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Simba SC Vs Young Africans
yanga1935: Heres Young Africans line-up to face Simba SC today: 1.Ally Mustapha - 1 2.Mbuyu Twite - 6 3.David Luhende - 29... http://t.co/XRMv18Y3vR
yanga1935: Vodacom Premier Leagu 2012/2013 Simba SC Vs Young Africans Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium #Tukutane... http://t.co/gD7xNq3rFs
yanga1935: Kikosi cha Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo kimefanya mazoezi yake... http://t.co/V6JQZYaJud
yanga1935: @ProsperMasau tiketi zitaanzwa kuuza kesho steers posta, u/taifa, buguruni shelly, sinza madukani, benjamin mkapa secondary, darlive
yanga1935: Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajia kufikia ukingoni siku ya jumamosi kwa kuchezwa michezo 7 katika... http://t.co/1q5ABNzjjj
yanga1935: Kikosi cha Young Africans leo kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Gombani kujiandaa na mchezo wake wa mwisho... http://t.co/xF73xqFibQ
yanga1935: Somewhere in Pemba Island http://t.co/Q8sX0Dgxx7
yanga1935: Young Africans Players in Camp at Pemba Island @Yanga1935 http://t.co/LfnUq2WFth
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday2068
mod_vvisit_counterYesterday4599
mod_vvisit_counterThis week17588
mod_vvisit_counterLast week14708
mod_vvisit_counterThis month40373
mod_vvisit_counterLast month60138
mod_vvisit_counterAll days529403

We have: 73 guests, 3 bots online
Your IP: 54.234.180.187
 , 
Today: May 19, 2013