You are here: Home NEWS Local News

Local News

News

SHEREHE ZA UBINGWA ZANOGA, YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0

 VIEWED 1108 TIMES

Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans zimenoga baada ya mabingwa wapya kuichapa timu ya Simba SC mabao 2 -0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watazamaji wapatao elfu 60 huku kituo cha luninga cha Supersport kutoka nchini Afrika Kusini kikirusha moja moja kwa mchezo huo

Last Updated on Saturday, 18 May 2013 20:48

Read more...

 

News

SHEREHE ZA UBINGWA ZANOGA, YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0

Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans zimenoga baada ya mabingwa wapya kuichapa timu ya Simba SC mabao 2 -0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watazamaji wapatao elfu huku kituo cha luninga cha Supersport kutoka nchini Afrika Kusini kikirusha moja moja kwa mchezo huo.

Young Africans ambayo ilishatwaa Ubingwa wa VPL kabla hata ya Ligi kumalizika iliingia uwanjani kwa lengo la kuhakikisha inaiubuka na ushindi katika mchezo kitu ambacho ndicho kilichotkea kwa watoto wa Jangwani kwa kuibuka na ushindi huo.

Kikosi cha Young Africans kiliingia uwanjani nba kuonyesha kinahitaji ushindi tangu mwanzo wa mchezo huku washambuliaji wake na nafasi ya kiungo kuwatesa wachezaji wa Simba  na kushindwa kuonekana kabisa.

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Burundi Didier Kavumbagu alikuwa wa kwanza kuwapat 

 

News

SIMBA, YANGA KESHO TAIFA

 VIEWED 834 TIMES

Kikosi cha Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo kimefanya mazoezi yake ya mwisho katika uwanja wa Ole kisiwani Pemba ikiwa ni maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wake dhidi ya timu ya Simba SC jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Last Updated on Friday, 17 May 2013 11:24

Read more...

   

News

SIMBA, YANGA JUMAMOSI

VIEWED 648 TIMES

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajia kufikia ukingoni siku ya jumamosi kwa kuchezwa michezo 7 katika viwanja tofauti huku mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya VPL timu ya Young Africans ikishuka dimba la uwanja wa Taifa kucheza na timu ya Simba SC, mchezo utakaochezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro.

Last Updated on Thursday, 16 May 2013 12:19

Read more...

 

News

YANGA TAYARI KUMUUA MNYAMA TAIFA

 VIEWED 1009 TIMES

Kikosi cha Young Africans leo kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Gombani kujiandaa na mchezo wake wa mwisho dhidi ya timu ya Simba SC mchezo utakaofanyika katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya jumamosi mei 18, 2013.

Last Updated on Tuesday, 14 May 2013 12:35

Read more...

   
  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »

 

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: I posted 5 photos on Facebook in the album "CHAMP24NS" http://t.co/jw1L47m1kO
yanga1935: Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans... http://t.co/S8GiejZjr7
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 2 - 0 Simba SC Kavumbagu ddk 4 Kiiza dkk 63
yanga1935: Dakika ya 89, Mpira umesimama kidogo, baada ya Nassoro Chollo kumsukuma Kavumbagu na wakati mwamuzi anamuulia kadondoka chini mwenyewe.
yanga1935: Dakika ya 85, anaingia Juma Abdul kuchukua nafasi ya Mbuyu Twite
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 2 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 1 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - Simba SC
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: KUMRADHI: bao la Yanga limefungwa na Didier Kavumbagu na sio Hamis Kiiza kama nilivyoandika awali
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 28 Simba walipata penati, akapiga Mussa Mudde na kukosa
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 4, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza
yanga1935: Mpira ndo umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Simba SC Vs Young Africans
yanga1935: Heres Young Africans line-up to face Simba SC today: 1.Ally Mustapha - 1 2.Mbuyu Twite - 6 3.David Luhende - 29... http://t.co/XRMv18Y3vR
yanga1935: Vodacom Premier Leagu 2012/2013 Simba SC Vs Young Africans Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium #Tukutane... http://t.co/gD7xNq3rFs
yanga1935: Kikosi cha Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo kimefanya mazoezi yake... http://t.co/V6JQZYaJud
yanga1935: @ProsperMasau tiketi zitaanzwa kuuza kesho steers posta, u/taifa, buguruni shelly, sinza madukani, benjamin mkapa secondary, darlive
yanga1935: Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajia kufikia ukingoni siku ya jumamosi kwa kuchezwa michezo 7 katika... http://t.co/1q5ABNzjjj
yanga1935: Kikosi cha Young Africans leo kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Gombani kujiandaa na mchezo wake wa mwisho... http://t.co/xF73xqFibQ
yanga1935: Somewhere in Pemba Island http://t.co/Q8sX0Dgxx7
yanga1935: Young Africans Players in Camp at Pemba Island @Yanga1935 http://t.co/LfnUq2WFth
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday374
mod_vvisit_counterYesterday4599
mod_vvisit_counterThis week14028
mod_vvisit_counterLast week15395
mod_vvisit_counterThis month38679
mod_vvisit_counterLast month60138
mod_vvisit_counterAll days527709

We have: 5 guests, 2 bots online
Your IP: 54.226.5.29
 , 
Today: May 19, 2013