
SHEREHE ZA UBINGWA ZANOGA, YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0
VIEWED 1108 TIMES
Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans zimenoga baada ya mabingwa wapya kuichapa timu ya Simba SC mabao 2 -0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watazamaji wapatao elfu 60 huku kituo cha luninga cha Supersport kutoka nchini Afrika Kusini kikirusha moja moja kwa mchezo huo
Last Updated on Saturday, 18 May 2013 20:48















