You are here: Home NEWS International News David Beckham apinga kauli ya Blatter.

David Beckham apinga kauli ya Blatter.

E-mail Print PDF
Article Index
David Beckham apinga kauli ya Blatter.
Blatter-adai-hakuna-ubaguzi-uwanjani
suarez ashtakiwa-kwa-kashfa-ya-ubaguzi
All Pages

Article hits: 2411 Views.

Kiungo wa kimataifa ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa timu ya taifa ya England David amesema taarifa iliyotolewa na rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi kuwa haupo uwanjani linahitaji kutolewa ufafanuzi.
Beckham ambaye sasa ameamea kusakata soka barani ulaya baada ya kuitumikia klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani kwa kipindi cha miaka mitano amesema kauli iliyotolewa na bosi wa FIFA siyo ya kufurahisha.
“Nafikiri kauli iliyotolewa Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi inahitaji kupingwa” alisema nahodha huyo wa zamani David Bekham.

Blatter ambaye amefikisha umri wa miaka 75,hivi karibuni alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema hakuna ubaguzi ndani ya uwanja.



Last Updated ( Saturday, 19 November 2011 07:35 )  

  • FACEBOOK

  • TWITTER