Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

David Beckham apinga kauli ya Blatter.

Article hits: 2202 Views.

Kiungo wa kimataifa ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa timu ya taifa ya England David amesema taarifa iliyotolewa na rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi kuwa haupo uwanjani linahitaji kutolewa ufafanuzi.
Beckham ambaye sasa ameamea kusakata soka barani ulaya baada ya kuitumikia klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani kwa kipindi cha miaka mitano amesema kauli iliyotolewa na bosi wa FIFA siyo ya kufurahisha.
“Nafikiri kauli iliyotolewa Sepp Blatter juu ya ubaguzi wa rangi inahitaji kupingwa” alisema nahodha huyo wa zamani David Bekham.

Read more...
 

MICHUANO YA UHAI CUP 2011

ARTICLE HITS: 1082 TIMES.

Timu 15 zinazoshiriki michuano ya mwaka huu ya Kombe la Uhai zimepangwa katika makundi matatu ambapo mechi zitachezwa katika viwanja viwili; Uwanja wa Karume na Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Mbande.

Mashindano hayo yanashirikisha timu zenye umri chini ya miaka 20 za klabu zote 14 za Ligi Kuu ya Vodacom wakati timu mwalikwa mwaka huu ni timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (Serengeti Boys).

Mabingwa watetezi Ruvu Shooting Stars ndiyo wanaoongoza kundi A katika michuano hiyo inayodhaminiwa na Kampuni ya Said Salim Bakhresa kupitia bidhaa yake ya maji Uhai. Timu nyingine katika kundi hilo ni Oljoro JKT, Kagera Sugar, Azam na Mtibwa Sugar.

Read more...
 

Asamoah,Berko waenda mapunzikoni.

ARTICLE HITS: 1126 TIMES

Wachezaji wa kimataifa kutoka nchini Ghana, Kenneth Asamoah na Yaw Berko wameondoka jijini Dar es Salaam alfajiri ya leo kwenda nchini Ghana kwa ajili ya mapunziko ya muda mfupi. Wachezaji hao wameondoka baada ya Uongozi wa mabingwa wa soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati kutoa mapunziko ya wiki tatu kabla ya kuingia katika hatua nyingine ya mzunguko wa ligi kuu pamoja na michuano ya kimataifa inayoikabili Klabu ya Yanga ikiwemo mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika na michuano ya Kombe la Kagame. Akizungumza na www.youngafricans.co.tz , Afisa Habari wa Klabu ya Yanga,

Read more...
 

UHAI CUP kuanza tarehe11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande

ARTICLE HITS: 1066 TIMES

Ligi ya vijana chini ya miaka 20 UHAI CUP inatazamiwa kuanza tarehe 11/11/11 katika Uwanja wa Azam FC - Mbande.
Ligi hiyo itashirikisha jumla ya timu 14 ambazo timu zao za wakubwa zinashiriki ligi kuu Tanzania Bara, timu hizo ni:
1.Young Africans B ,
2.Simba SC B,
3.Azam SC B,
4.Mtibwa Sugar B,
5.JKT Oljoro B,
6.Villa Squad B,
7.Moro United B,
8.African Lyon B,
9.Coastal Union B,
10.JKT Ruvu B,

Read more...
   

Page 98 of 100

  • FACEBOOK

  • TWITTER