Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

TODAY, 77 YEARS ANNIVERSARY OF YANGA

2012-02-12 13:49:14 VIEWED 1133 TIMES
Ikiwa leo inasheherekea miaka 77 tangu kuasisiwa kwake, klabu ya Young Africans leo itashuka dimbani kucheza na timu ya Ruvu Shooting katika Uwanja wa Taifa, ikiwa ni mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.
Kabla ya mchezo huo, mapema saa 8, kutakuwa na mchezo wa kirafiki kati ya Wachezaji wa zamani wa Young Africans (Veteran) Vs Clouds FM media.
Read more...
 

YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 46/-

2012-02-10 10:24:01 VIEWED 968 TIMES

TFF: PRESS RELEASE

YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 49/-

Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Mtibwa Sugar lililochezwa Februari 8 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 49,510,000.

Read more...
 

YANGA YAICHAPA 3 - 1 MTIBWA SUGAR NA KUONGOZA LIGI KUU YA VODACOM

2012-02-08 22:14:49 VIEWED 1160 TIMES

Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kushika usukani wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara mara baada ya kuichapa bila huruma timu ya Mtibwa Sugar kwaka mabao 3 - 1 katika mchezo cha ligi kuu ya uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUCHEZA NA ZAMALEKI MECHI MOJA?

2012-02-06 15:18:47 VIEWED 1983 TIMES

Uongozi wa Klabu ya Yanga imekiandikia barua Shirikisho la soka nchini TFFF kutaka mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika dhidi ya Zamalek ya Misri ichezwe moja kutokana na hali ya usalama uliopo nchini Misri.

Read more...
   

Page 94 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER