![]() Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times. |

2012-02-10 10:24:01 VIEWED 968 TIMES
TFF: PRESS RELEASE
YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 49/-
Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Mtibwa Sugar lililochezwa Februari 8 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 49,510,000.
Read more...
2012-02-08 22:14:49 VIEWED 1160 TIMES
Timu ya Young Africans Sports Club imefanikiwa kushika usukani wa ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara mara baada ya kuichapa bila huruma timu ya Mtibwa Sugar kwaka mabao 3 - 1 katika mchezo cha ligi kuu ya uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...2012-02-06 15:18:47 VIEWED 1983 TIMES
Uongozi wa Klabu ya Yanga imekiandikia barua Shirikisho la soka nchini TFFF kutaka mechi ya Klabu Bingwa Barani Afrika dhidi ya Zamalek ya Misri ichezwe moja kutokana na hali ya usalama uliopo nchini Misri.
Read more...Page 94 of 99
