Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA TAYARI KUIKABILI ZAMALEK

2012-02-17 14:12:47 VIEWED 1345 TIMES
Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Kostadian Papic amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wake dhidi ya Zamalek ya Misri ambayo imewasili jijini Dar es Salaam leo alfajiri tayari kwa mchezo wake hapo kesho siku ya Jumamosi wakati itakapokutana na Yanga wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika.
Read more...
 

POULSEN ATAJA 23 KUIVAA MSUMBIJI

2012-02-16 14:26:34 VIEWED 942 TIMES
Kocha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Jan Poulsen leo (Februari 16 mwaka huu) ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ambalo fainali zake zitafanyika mwakani nchini Afrika Kusini.
Read more...
 

VIINGILIO, YANGA NA ZAMALEKI VYATANGAZWA

2012-02-15 15:42:15 VIEWED 1040 TIMES
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania pambano la Yanga na Zamalek limeingia katika historia mpya kufuatia tiketi za mchezo huo kuwa za kisasa ambazo tayari zimekwisha tua nchini. Kindamba amesema tiketi hizo zitasaidia kufahamu idadi ya watu watakaoingia uwanjani hapo kabla ya pambano hilo kuanza.
Read more...
 

YANGA, RUVU SHOOTING ZAINGIZA MIL 47

2012-02-13 13:21:34 VIEWED 1006 TIMES

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

14,150 WASHUHUDIA YANGA, RUVU SHOOTING
Watazamaji 14,150 ndiyo waliokata tiketi kushuhudia pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Ruvu Shooting lililochezwa jana (Februari 12 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuingiza sh. 47,554,000.
Read more...
   

Page 93 of 100

  • FACEBOOK

  • TWITTER