YANGA TAYARI KUIKABILI ZAMALEK
2012-02-17 14:12:47 VIEWED 1345 TIMES
Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Kostadian Papic amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wake dhidi ya Zamalek ya Misri ambayo imewasili jijini Dar es Salaam leo alfajiri tayari kwa mchezo wake hapo kesho siku ya Jumamosi wakati itakapokutana na Yanga wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika.
Read more...



