";} /*B6D1B1EE*/ ?>

Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

CHUJI AREJESHWA KUNDINI

VIEWED 3509 TIMES

Kiungo wa ulinzi wa timu ya Young Africans Athuman Idd Athuman "Chuji" amerejeshwa kundini kuungana na wachezaji wenzake baada ya awali kuwa amesimamishwa na uongozi kutona na kitendo cha utovu wa nidhamu aliouonyesha mwishoni mwa mwaka jana.

Read more...
 

YANGA Vs COASTAL KESHO

VIEWED 2183 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho itashuka dimbani kupambana na wenyeji Coastal Union katika muendelezo wa michezo ya VPL, mchezo utakaopigwa katika daimba la Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Read more...
 

YANGA YAWASILI TANGA, KUIVAA COASTAL JUMATANO

VIEWED 3120 TIMES

Vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans imewasili salama katika jiji la Tanga majira ya saa 6 kasorobo ikitokea jijini Dar es salaam tayari kwa kuwakabili wenyeji timu ya Coastal Union siku ya jumatano katika Uwanja wa Mkwakwani.

Read more...
 

YANGA 2-1 ASHANTI

VIEWED 3757 TIMES

Young Africans imeanza vizuri mzuguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabo 2-1 dhidi ya timu ya Ashanti United katika mchezo wa fungua dimba uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 9 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER