
![]() Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times. |


VIEWED 2308 TIMES
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans kesho siku ya jumapili itashuka dimbani kuivaa timu ya Mbeya City FC kutoka jijini Mbeya katika muendelezo wa michezo ya mzunguko wa pili, mechi itakaofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
VIEWED 3434 TIMES
Benchi la Ufundi la klabu ya Young Africans limesikitishwa na taarifa zilizoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba wachezaji wa Young Africans kiungo Haruna Niyonzima na nahodha Nadir Haroub "Cannavaro" walipigana katika mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumatano jijini Tanga kuwa hazina ukweli wowote bali ni katika kutaka kuharibu twasira ya timu.
Read more...
VIEWED 2337 TIMES
Young Africans imetoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya wenyeji timu ya Coastal Union katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo katika dimba la Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Read more...Page 8 of 99
