
YANGA YAICHAPA KOMOROZINE 7-0
VIEWED 4562 TIMES
Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans leo imeanza vizuri mashindano hayo kwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya timu ya Komorozine de Domoni kutoka visiwa vya Comoro katika mchezo uliofanyika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...




