";} /*B6D1B1EE*/ ?>

Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA YAICHAPA KOMOROZINE 7-0

VIEWED 4562 TIMES

Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans leo imeanza vizuri mashindano hayo kwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya timu ya Komorozine de Domoni kutoka visiwa vya Comoro katika mchezo uliofanyika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

CAF ORANGE CL: YANGA VS KOMORIZNE KESHO

VIEWED 3048 TIMES

Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans kesho itashuka dimbani kucheza na timu ya Komorozine de Domoni kutoka Visiwa vya Comoro kwenye mchezo wa awali wa mashindano hayo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUWAVAA WACOMORO JUMAMOSI

VIEWED 3230 TIMES

Wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya klabu Bingwa barani Afrika timu ya Young Africans itashuka dimbani siku ya jumamosi kuivaa timu ya Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali ya Klabu Bingwa barani Afrika.

Read more...
 

YANGA YAICHAPA 1-0 MBEYA CITY

VIEWED 4362 TIMES

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imevunja mwiko wa timu ya Mbeya City kucheza michezo ya Ligi bila kufungwa baada ya kuichapa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 7 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER