";} /*B6D1B1EE*/ ?>

Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA KUWAVAA WAKOMORO KESHO

VIEWED 2313 TIMES

Young Africans kesho itashuka dimbani kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya timu ya Komorozine de Domoni ya Anjuan Visiwa vya Comoro katika mchezo wa Klabu Bingwa Barani Afrika utakaofanyika mji wa Mitsamihuli kwenye uwanja wa Sheikh Said Mohamed International kuanzia majira ya 9 kamili mchana kwa saa za Afrika Mashariki.

Read more...
 

OKWI RUKSA YANGA

VIEWED 9206 TIMES

Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya Taifa Uganda na klabu ya Young Africans Emmanuel Arnold Okwi leo ameruhiswa ramsi kuanza kuitumikia timu yake katika michezo ya Ligi Kuu na Mashindano ya klabu Bingwa Barani Afrika kufuatia shirikisho la soka nchini TFF kuiandikia barua klabu ya Young Africans.

Read more...
 

YANGA YAWASILI COMORO

VIEWED 2567 TIMES

Kikosi cha Young Africans kimewasili tayari kimewasili salama katika Visiwa vya Comoro majira ya saa 6 kamili mchana kwa shirika la ndege la Precison Air na kupokelewa na wenyeji wao kisha moja kwa moja kuelekea katika hotel ya Retaj Moroni ambapo ndipo msafara wa watu 30 ulipofikia.

Read more...
 

YANGA KUWAFUATA WACOMORO KESHO

VIEWED 2466 TIMES

Young Africans Sports Club wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika kesho watakwea pipa saa 6 kamili mchana kuelekea Visiwa vya Comoro tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya timu ya Komorozine de Domoni utakaofanyika siku ya jumamosi katika Uwanja wa stade International Said Mohamed Cheik Mitsamiouli.

Read more...
   

Page 6 of 99

  • FACEBOOK

  • TWITTER