Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA UTAIPENDA TU, YAICHAPA OLJORO 3-0

   VIEWED 1743 TIMES
"sita, saba, nane,tisa, kumi , kumi na sita, kumi na nane, ishirini na tano, ishirini na sita"
Hivyo ndivyo washabiki, wapenzi na wanachama wa klabu ya Young Africans Sports Club leo walivyokua wakihesabu pasi murua (sambusa) wakati mchezo ukiendelea huku wakicheza na kufurahi kwa makofi, ambapo timu ya Yanga ilikua inaongoza kwa mabao 3-0, katika mchezo uliomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhid ya timu ya JKT Oljoro mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
 

YANGA Vs OLJORO KESHO

  VIEWED 583 TIMES

Timu ya Young Africans leo imefanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa shule ya sekondari ya Loyola - Mabibo ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya timu ya JKT Oljoro, mchezo utakaofanyika katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUIVAA OLJORO JUMAMOSI

 VIEWED 581 TIMES

Kikosi cha timu ya Young Africans Sports Club leo kimeendelea na mazoezi ya asubuhi katika uwanja wa shule ya sekondali ya Loyola ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom mzunguko wa pili dhidi ya timu ya JKT Oljoro kutoka Arusha mchezo utakaofanyika jumamosi katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA YAENDELEA KUJIFUA

  VIEWED 837 TIMES

Vinara wa Ligi Kuu ya Kuu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) timu ya Young Africans Sports Club leo imeendelea na mazoezi ya asubuhi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola - Mabibo ikiwa ni maandalizi ya mchezo unaofuata dhidi ya timu ya JKT Oljoro kutoka Arusha siku ya jumatano katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
   

Page 7 of 61

 

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Uongozi wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom klabu ya Young Africans leo umekata mzizi wa fitina kwa kiungo... http://t.co/oZUqXpuAyz
yanga1935: Droo ya makundi kwa ajli ya mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati al-maarufu kama (KAGAME CUP)... http://t.co/r2esjJLwtJ
yanga1935: Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa... http://t.co/fkfqNHiwz1
yanga1935: Green and yellow colours were dominant from the early hours of Saturday and it went on to be the dominant colours... http://t.co/sshr7bjgeQ
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday976
mod_vvisit_counterYesterday3568
mod_vvisit_counterThis week28861
mod_vvisit_counterLast week19559
mod_vvisit_counterThis month71205
mod_vvisit_counterLast month60138
mod_vvisit_counterAll days560235

We have: 43 guests, 4 bots online
Your IP: 50.16.17.90
 , 
Today: May 26, 2013