Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA Vs JKT RUVU KESHO

 VIEWED 670 TIMES 

Vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bara na Mabingwa mara 23 wa Ligi Kuu timu ya Young Africans kesho siku ya jumapili watashuka dimbani kucheza na maafande wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT Ruvu Stars) kutoka mkoa wa Pwani mchezo utakaofanyika majira ya saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUIKABILI JKT RUVU JUMAPILI

  VIEWED 639 TIMES

Baada ya kutoa sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya maafande wa jeshi la Mgambo mjini Tanga, timu ya Young Africans jana ilirejea jijini Dar es salaam ambapo leo asubuhi imefanya mazoezi katika uwanja wa mabatini Kijitonyama ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo unaofuata dhidi ya timu ya JKT Ruvu siku ya jumapili katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA, MGAMBO ZATOKA SARE

 VIEWED 957 TIMES

Timu ya Young Africans imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya Mgambo Shooting ya mjini Tanga katika mchezo uliofanyika leo jioni katika uwanja wa mkwakwani, mchezo ambao ulikosa radha kufuatia waaamuzi wa mchezo huo kutoa maamuzi ya kutatanaisha muda wote wa mchezo.
Read more...
 

YANGA Vs MGAMBO KESHO

  VIEWED 795 TIMES

Vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara, timu ya Young Africans leo asubuhi imefanya mazoezi katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga ikiwa ni maandalizi ya mchezo wake wa kesho dhidi ya timu ya Mgambo JKT ya jijini hapa mchezo utakaofanyika majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Read more...
   

Page 5 of 61

 

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Green and yellow colours were dominant from the early hours of Saturday and it went on to be the dominant colours... http://t.co/sshr7bjgeQ
yanga1935: I posted 5 photos on Facebook in the album "CHAMP24NS" http://t.co/jw1L47m1kO
yanga1935: Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans... http://t.co/S8GiejZjr7
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 2 - 0 Simba SC Kavumbagu ddk 4 Kiiza dkk 63
yanga1935: Dakika ya 89, Mpira umesimama kidogo, baada ya Nassoro Chollo kumsukuma Kavumbagu na wakati mwamuzi anamuulia kadondoka chini mwenyewe.
yanga1935: Dakika ya 85, anaingia Juma Abdul kuchukua nafasi ya Mbuyu Twite
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 2 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 1 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - Simba SC
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: KUMRADHI: bao la Yanga limefungwa na Didier Kavumbagu na sio Hamis Kiiza kama nilivyoandika awali
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 28 Simba walipata penati, akapiga Mussa Mudde na kukosa
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 4, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza
yanga1935: Mpira ndo umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Simba SC Vs Young Africans
yanga1935: Heres Young Africans line-up to face Simba SC today: 1.Ally Mustapha - 1 2.Mbuyu Twite - 6 3.David Luhende - 29... http://t.co/XRMv18Y3vR
yanga1935: Vodacom Premier Leagu 2012/2013 Simba SC Vs Young Africans Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium #Tukutane... http://t.co/gD7xNq3rFs
yanga1935: Kikosi cha Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo kimefanya mazoezi yake... http://t.co/V6JQZYaJud
yanga1935: @ProsperMasau tiketi zitaanzwa kuuza kesho steers posta, u/taifa, buguruni shelly, sinza madukani, benjamin mkapa secondary, darlive
yanga1935: Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajia kufikia ukingoni siku ya jumamosi kwa kuchezwa michezo 7 katika... http://t.co/1q5ABNzjjj
yanga1935: Kikosi cha Young Africans leo kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Gombani kujiandaa na mchezo wake wa mwisho... http://t.co/xF73xqFibQ
yanga1935: Somewhere in Pemba Island http://t.co/Q8sX0Dgxx7
yanga1935: Young Africans Players in Camp at Pemba Island @Yanga1935 http://t.co/LfnUq2WFth
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday3496
mod_vvisit_counterYesterday4599
mod_vvisit_counterThis week19016
mod_vvisit_counterLast week14708
mod_vvisit_counterThis month41801
mod_vvisit_counterLast month60138
mod_vvisit_counterAll days530831

We have: 32 guests, 2 bots online
Your IP: 23.20.196.179
 , 
Today: May 19, 2013