
YANGA, COASTAL ZATOKA SARE
VIEWED 663 TIMES
Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2012/2013 timu ya Young Africans leo imetoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya timu ya Coastal Union (wagosi wa kaya) kutoka jijini Tanga katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
















