Club Highlight

Young Africans is one of the oldest football teams in East Africa, The Club was established in the year 1935. The club won Tanzania Premier League 24 times, Tanzania Cup 4 times and CECAFA cup 5 times.

You are here: Home

The Official Website of Young Africans Sports Club

YANGA, COASTAL ZATOKA SARE

 VIEWED 663 TIMES 

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2012/2013 timu ya Young Africans leo imetoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya timu ya Coastal Union (wagosi wa kaya) kutoka jijini Tanga katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA KUIVAA COASTAL UNION JUMATANO

 VIEWED 793 TIMES  

Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu wa 2012/2013 timu ya Young Africans leo wameendelea na mazoezi asubuhi katika uwanja wa shule ya sekondari ya Loyola kujiandaa na mchezo dhidi ya timu ya Coastal Union kutoka jijini Tanga mchezo utakaofanyika siku ya jumatano (mei mosi) katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA BINGWA VPL 2012/2013, YAJIFUA GYM

 VIEWED 1454 TIMES 

Pamoja na jana kutangazwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013, kikosi cha timu ya Young Africans leo kimeendelea na mazoezi ya viungo na kujenga misuli (GYM) katika kituo cha mazoezi kilichopo jengo la Quality Cetntre kujiandaa na mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumatano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Read more...
 

YANGA YAMKUMBUKA KILAMBO

 VIEWED 600 TIMES 

Uongozi wa klabu ya Yanga leo umewakabidhi cheti watoto wa marehemu Kilambo Athumani kwa kuutammbua mchango wake ambao aliutoa kwa klabu ya Yanga akiwa kama mchezaji kwa kipindi cha miaka 11 na kuwa kocha mkuu wa klabu Yanga miaka ya 70's.

Read more...
   

Page 4 of 61

 

   
  • FACEBOOK PAGE

  • TWITTER FEEDS

yanga1935: Droo ya makundi kwa ajli ya mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati al-maarufu kama (KAGAME CUP)... http://t.co/r2esjJLwtJ
yanga1935: Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa waandishi wa... http://t.co/fkfqNHiwz1
yanga1935: Green and yellow colours were dominant from the early hours of Saturday and it went on to be the dominant colours... http://t.co/sshr7bjgeQ
yanga1935: I posted 5 photos on Facebook in the album "CHAMP24NS" http://t.co/jw1L47m1kO
yanga1935: Sherehe za kukabidhiwa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013 kwa Mabingwa wapya Young Africans... http://t.co/S8GiejZjr7
yanga1935: Mpira umemalizika, Young Africans 2 - 0 Simba SC Kavumbagu ddk 4 Kiiza dkk 63
yanga1935: Dakika ya 89, Mpira umesimama kidogo, baada ya Nassoro Chollo kumsukuma Kavumbagu na wakati mwamuzi anamuulia kadondoka chini mwenyewe.
yanga1935: Dakika ya 85, anaingia Juma Abdul kuchukua nafasi ya Mbuyu Twite
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 2 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 75, Young Africans 1 - 0 Simba SC Anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Hamis Kiiza
yanga1935: Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili Young Africans 2 - Simba SC
yanga1935: Dakika ya 60, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: KUMRADHI: bao la Yanga limefungwa na Didier Kavumbagu na sio Hamis Kiiza kama nilivyoandika awali
yanga1935: Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 28 Simba walipata penati, akapiga Mussa Mudde na kukosa
yanga1935: Dakika ya 15, Young Africans 1 - 0 Simba SC
yanga1935: Dakika ya 4, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la kwanza
yanga1935: Mpira ndo umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya wenyeji Simba SC Vs Young Africans
yanga1935: Heres Young Africans line-up to face Simba SC today: 1.Ally Mustapha - 1 2.Mbuyu Twite - 6 3.David Luhende - 29... http://t.co/XRMv18Y3vR
yanga1935: Vodacom Premier Leagu 2012/2013 Simba SC Vs Young Africans Kick-off 16:00hrs Venue: National Stadium #Tukutane... http://t.co/gD7xNq3rFs
yanga1935: Kikosi cha Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo kimefanya mazoezi yake... http://t.co/V6JQZYaJud
yanga1935: @ProsperMasau tiketi zitaanzwa kuuza kesho steers posta, u/taifa, buguruni shelly, sinza madukani, benjamin mkapa secondary, darlive
yanga1935: Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajia kufikia ukingoni siku ya jumamosi kwa kuchezwa michezo 7 katika... http://t.co/1q5ABNzjjj
mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday1646
mod_vvisit_counterYesterday4469
mod_vvisit_counterThis week13986
mod_vvisit_counterLast week19559
mod_vvisit_counterThis month56330
mod_vvisit_counterLast month60138
mod_vvisit_counterAll days545360

We have: 42 guests, 2 bots online
Your IP: 23.22.76.170
 , 
Today: May 22, 2013